HELLO YOUR HERE TO VIEW SHAJARA YA MAARIFA YA JAMII DARASA LA SABA
Umahiri Mkuu Umahiri Mahususi Kilicho Fundishwa Tar. Ya Kuanza Tar. Ya Kumaliza Maoni Ya Mwl. Maoni Ya Mkuu Wa Idara Maoni Ya Mkuu Wa Shule
1.0 Kutambua matukio yanayotokea katika mazingira yanayo mzunguka1.1 Kutunza mazingira ya jamii inayo mzungukaa) Kuchambua majanga ya asili na jinsi yanavyosababisha uharibifu wa mazingira na kuathiri mahusiano ya kutegemeana katika mazingira b) Kubainisha vyanzo vya majanga ya asili kwa kuhusianisha chanzo kimoja na kingine
1.0 Kutambua matukio yanayotokea katika mazingira yanayo mzunguka1.1 Kutunza mazingira ya jamii inayo mzungukac) Anachambua tahadhari za kuchukua ili kukabiliaana na madhara ya majanga ya asili kwa kutoa mifano
1.0 Kutambua matukio yanayotokea katika mazingira yanayo mzunguka1.1 Kutunza mazingira ya jamii inayo mzungukad) Kuchanganua vyanzo vya janga la moto na taratibu za kuzuia janga hilo
1.0 Kutambua matukio yanayotokea katika mazingira yanayo mzunguka1.1 Kutunza mazingira ya jamii inayo mzungukae) Kuelezea namna ya kutumia kanuni za kuzima moto na uokoaji katika mazingira yanayomzu- nguka
1.0 Kutambua matukio yanayotokea katika mazingira yanayo mzunguka1.2 Kutunza kumbu kumbu za matukio ya Kihistoriaa) Kulinganisha maendeleo ya zana za uzalishaji mali za zama za mawe, zama za chuma na na maendeleo ya sayansi na teknolojia kwa sasa
1.0 Kutambua matukio yanayotokea katika mazingira yanayo mzunguka1.2 Kutunza kumbu kumbu za matukio ya Kihistoriab) Kutofautisha mabadiliko ya kimaendeleo kati ya zama za mawe na zama za chuma kwenye nyanja za kiuchumi, kijamii, kisiasa na kiutamaduni

Fill The Form Below To Download SHAJARA YA MAARIFA YA JAMII DARASA LA SABA For T.Sh. 2,000/=

For Call,Sms&WhatsApp: 255769929722 / 255754805256